Rais Samia amemteua Magambo kuwa Mkurugenzi Mkuu PSSSF
Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Fortunatus Magambo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi za Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF).
Kabla ya uteuzi huu, ambao umetangazwa Alhamisi, Desemba 11, 2025 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais – Ikulu, Bakari Machumu, Magambo alikuwa Mkurugenzi wa Mipango, Uwekezaji na Miradi ndani ya mfuko huo.
Wakati huo huo, Rais Samia pia amemteua Plasduce Mbossa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).
Taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais – Ikulu
Rais Samia amemteua Magambo kuwa Mkurugenzi Mkuu PSSSF
Reviewed by Zero Degree
on
12/11/2025 04:15:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
12/11/2025 04:15:00 PM
Rating:



