Loading...

Kauli ya Haji Manara juu ya Simba SC kufungwa na Kagera Sugar

Msemaji wa Simba, Haji Manara anaamini kikosi cha Simba kina nafasi ya kubeba ubingwa.

Manara anaamini Simba itabeba ubingwa kama itarekebisha makosa katika mechi tano zilizobaki.

Simba imepoteza mechi mechi yake dhidi ya Kagera Sugar kwa kuchapwa kwa mabao 2-1 wakati ilikuwa na matumaini ya kubaki kileleni hadi mwisho wa ligi.

“Ni kweli tumekosea, ni kweli tumefungwa. Hakuna haja ya kupoteza muda, tuendelee kupambana.

“Bado tuna nafasi, kikubwa tunahitaji utulivu na kurekebisha makosa,” alisema.
Kauli ya Haji Manara juu ya Simba SC kufungwa na Kagera Sugar Kauli ya Haji Manara juu ya Simba SC kufungwa na Kagera Sugar Reviewed by Zero Degree on 4/03/2017 11:28:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.