Waziri Mkuu Afungua Maonesho Ya Nanenane Jijini Dodoma
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 01, 2024 amefungua maonesho ya Kimataifa ya Wakulima ya Nanenane ambayo kitaifa yanafanyika Jijini Dodoma, kwenye viwanja vya Nanenane Nzuguni.
Kauli mbiu ya Maonesho hayo ni Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.
.
Waziri Mkuu Afungua Maonesho Ya Nanenane Jijini Dodoma
Reviewed by Zero Degree
on
8/01/2024 12:29:00 PM
Rating:
