Manji aachiwa huru kesi ya madawa ya kulevya
Akisoma huku hiyo Hakimu wa Mahakama ya Kisutu, Cyprian Mkeha amesema mahakama hiyo imefikia uamuzi huo baada ya upande wa mashtaka kushindwa kutoa ushahidi wa kujitosheleza hivyo mahakama hiyo kushindwa kuthibitisha iwapo Manji anatumia madawa ya kulevya.
Manji aachiwa huru kesi ya madawa ya kulevya
Reviewed by Zero Degree
on
10/06/2017 02:36:00 PM
Rating: