Tembo auwa wawili ajeruhi watano
Akiomba mwongozo leo Mei 28 bungeni mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha maswali na majibu, Massay amemesema kwamba Tembo wameua watu wawili na wanaendelea kufanya uharibifu katika Jimbo lake.
“Mhehimiwa Mwenyekiti naomba mwongozo jambo hili limekuwa hatari na tembo wanaendelea kufanya uharibifu na watu watano wapo Hospital wakiwa wamejeruhiwa.
“Mheshimiwa Mwenyekiti naomba Serikali inisaidie kule kwa sababu tembo ni hatari wameendelea kuua watu wengi Jimboni,”amesema
Akijibu, Mwenyekiti wa Bunge,Najma Giga amesema “Naamini Serikali wameshalisikia, kuhusiana na vitendo vinavyohusiana na jambo hilo naamini kwamba watalifuatilia.
“Mhehimiwa Mwenyekiti naomba mwongozo jambo hili limekuwa hatari na tembo wanaendelea kufanya uharibifu na watu watano wapo Hospital wakiwa wamejeruhiwa.
“Mheshimiwa Mwenyekiti naomba Serikali inisaidie kule kwa sababu tembo ni hatari wameendelea kuua watu wengi Jimboni,”amesema
Akijibu, Mwenyekiti wa Bunge,Najma Giga amesema “Naamini Serikali wameshalisikia, kuhusiana na vitendo vinavyohusiana na jambo hilo naamini kwamba watalifuatilia.
Chanzo: Mtanzania
Tembo auwa wawili ajeruhi watano
Reviewed by Zero Degree
on
5/28/2019 06:50:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
5/28/2019 06:50:00 PM
Rating:
