Kiungo Mtibwa Sugar awaondoa hofu mashabiki
Kwa mujibu wa taarifa ya gazeti la Bingwa, Awadhi alisema anauhakika wa kufanya vizuri mchezo ujao.
Awadhi alisema pamja na kupoteza michezo mitatu huku wakitoka sare moja, bado wana matumani ya kupata matokeo bora.
Alisema watahakikisha wanajipanga upya na kurekebisha kasoro yaliyojitokeza ili waweze kumaliza hasira zao kwa timu ambayo watakutana nayo.
“Tumeanza vibaya, huu ni mpira na sio kila mwaka utafanya kama ilivyoanza mwaka uliopita, mambo yanabadilika lakini hii haimaanishi kuwa tutamaliza vibaya.
Tumepoteza pointi tatu katika uwanja wa nyumbani,naamini kuanzia mchezo ujao kikosi kitakuwa kikifanya vizuri,” alisema Awadhi
Mtibwa Sugar ilianza ligi hiyo kwa kufungwa na Lipuli mabao 3-1, kasha ilifungwa na Simba mabao 2-1 kabla ya kutoka sare ya bao 1-1 na JKT Tanzania na baadaye kufungwa na Tanzania Prisons mabao 3-1.
Awadhi alisema pamja na kupoteza michezo mitatu huku wakitoka sare moja, bado wana matumani ya kupata matokeo bora.
Alisema watahakikisha wanajipanga upya na kurekebisha kasoro yaliyojitokeza ili waweze kumaliza hasira zao kwa timu ambayo watakutana nayo.
“Tumeanza vibaya, huu ni mpira na sio kila mwaka utafanya kama ilivyoanza mwaka uliopita, mambo yanabadilika lakini hii haimaanishi kuwa tutamaliza vibaya.
Tumepoteza pointi tatu katika uwanja wa nyumbani,naamini kuanzia mchezo ujao kikosi kitakuwa kikifanya vizuri,” alisema Awadhi
Mtibwa Sugar ilianza ligi hiyo kwa kufungwa na Lipuli mabao 3-1, kasha ilifungwa na Simba mabao 2-1 kabla ya kutoka sare ya bao 1-1 na JKT Tanzania na baadaye kufungwa na Tanzania Prisons mabao 3-1.
Kiungo Mtibwa Sugar awaondoa hofu mashabiki
Reviewed by Zero Degree
on
9/27/2019 08:20:00 AM
Rating: