Mabaki ya mwanafunzi aliyeliwa na mamba yapatikana
Biseko, aliyekuwa akisoma darasa la sita shule ya Msingi Itabagumba aliliwa na mamba katika kijiji cha Bulyaheke B kata ya Bulyaheke wilayani Sengerema.
Akizungumza leo Jumatatu Oktoba 14, 2019 ofisa mtendaji wa kijiji hicho, Berenadetha Sandu amesema jitihada ya kupata mabaki ya mwanafunzi huyo zimefanywa na wavuvi na kuzikwa kijijini hapo.
Akizungumza leo Jumatatu Oktoba 14, 2019 ofisa mtendaji wa kijiji hicho, Berenadetha Sandu amesema jitihada ya kupata mabaki ya mwanafunzi huyo zimefanywa na wavuvi na kuzikwa kijijini hapo.
Mabaki ya mwanafunzi aliyeliwa na mamba yapatikana
Reviewed by Zero Degree
on
10/14/2019 07:15:00 AM
Rating: