Loading...

Yanga yailaza Mbao FC Kirumba


TIMU ya Yanga SC leo Jumanne Oktoba 22, 2019 imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbao FC katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom.

Bao pekee la Yanga lilifungwa na Sadney Urikhob mnamo dakika ya 57 kipindi cha pili cha mchezo huo.

Yanga imefikisha pointi saba ikiwa katika nafasi ya 10 katika msimamo wa Ligi baada ya kucheza mechi nne. Simba inaongoza Ligi ikiwa na pointi 12 wakiwa na michezo minne, nafasi ya pili ikishikiliwa na Namungo FC wakiwa na pointi 10 wakiwa wamecheza michezo sita.
Yanga yailaza Mbao FC Kirumba Yanga yailaza Mbao FC Kirumba Reviewed by Zero Degree on 10/23/2019 07:20:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.