Takribani watu 20 wafa maji DRC
Kulingana na Huduma ya Ulinzi wa Raia huko Ituri, tukio hili linatokana na upepo mkali uliovuma Aprili iliyopita kwenye Ziwa Albert.
Serikali imehusisha janga hili la asili na mabadiliko ya tabia nchi.
Mratibu wa huduma hiyo, Robert Ndjalonga alidokeza kuwa hali hii inaathiri shughuli za usafiri wa ziwani na uvuvi ambazo ni hatari sana.
Ili kuzuia upotevu wa maisha ya binadamu na uharibifu wa nyenzo, imeshauriwa kwa wavuvi, wasafirishaji na wateja kujipanga na jaketi za kuokoa maisha kila wakati na kupunguza shughuli kwenye Ziwa Albert.
BBC
Takribani watu 20 wafa maji DRC
Reviewed by Zero Degree
on
5/16/2024 11:29:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
5/16/2024 11:29:00 PM
Rating:
