Loading...

Jaji Mkuu katika banda la Nishati Sabasaba


Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamis Juma akipata maelezo kuhusu kazi ambazo zinafanywa na Wizara ya Nishati wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam.


Anayetoa maelezo ni Mhandisi Shukurani Rugaimukamu kutoka Wizara ya Nishati.
Jaji Mkuu katika banda la Nishati Sabasaba Jaji Mkuu katika banda la Nishati Sabasaba Reviewed by Zero Degree on 7/05/2024 02:17:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.