Rasmi: Chama amwaga wino Jangwani
Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa kiungo wa Kimataifa wa Zambia Clatous Chama.
Chama anajiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Simba.
Hili ni pigo kwa Simba kwani walikuwa wakipambana kumbakisha nyota huyo kikosini lakini wamekwama.
Unaweza kusema baada ya kuiota ndoto ya kuwa na Chama kwa muda mrefu hatimae Yanga wametimiza ndoto yao
Hili ni pigo kwa Simba kwani walikuwa wakipambana kumbakisha nyota huyo kikosini lakini wamekwama.
Unaweza kusema baada ya kuiota ndoto ya kuwa na Chama kwa muda mrefu hatimae Yanga wametimiza ndoto yao
Rasmi: Chama amwaga wino Jangwani
Reviewed by Zero Degree
on
7/01/2024 02:00:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
7/01/2024 02:00:00 PM
Rating:
