Loading...

Rais Samia amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TISEZA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya kiuchumi Tanzania (Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority - TISEZA).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Bw. Gilead John Teri ameteuliwa kuwa iliyoanzishwa kufuatia kutungwa kwa Sheria ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Na. 6 ya mwaka  2025.

Taarifa kamili hiyo hapo chini:


Rais Samia amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TISEZA Rais Samia amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TISEZA Reviewed by Zero Degree on 7/01/2025 06:00:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.