Loading...

Simba SC, Fadlu wafikia makubaliano ya kusitisha mkataba


Uongozi wa Klabu Simba SC umeueleza umma kuwa umefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na kocha mkuu Fadlu Davids baada ya kuhudumu na timu hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Uongozi wa Simba umeeleza kuwa makubaliano hayo yalikuwa ni matakwa binafsi ya kocha huyo kwa kwao.

Klabu ya Simba imetoa shukurani kwa kocha Fadlu kwa kuingoza Simba kufika hatua ya fainali ya kombe la Shirikisho Afrika na kumaliza nafasi ya pili katika ligi kuu ya NBC.

Taarifa iliyotolewa klabu ya Simba SC:



Simba SC, Fadlu wafikia makubaliano ya kusitisha mkataba Simba SC, Fadlu wafikia makubaliano ya kusitisha mkataba Reviewed by Zero Degree on 9/22/2025 08:55:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.