Loading...

Mwanamke [Jina halijafahamika] Akutwa juu ya Paa La Jengo La Wizara Ya Fedha Dar.


Manamke ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa amekaa juu ya paa la majengo ya Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es Salaam leo.




Mwanamke huyo akizungumza na watu waliokusanyika lakini alikuwa hasikiki vizuri maneno aliyokua akiongea kutokana na wananchi waliokusanyika kumuuliza maswali mengi kwa wakati mmoja.



Polisi akiwa pembeni ya uzio wa majengo ya wizara ya fedha na mipango mara baada ya mwanamke huyo kuwa juu ya paa la nyumba hizo. Baada ya muda wafanyakazi wa wizara hiyo walimwekea ngazi na kumshusha ili kumhoji zaidi nini kimemfanya apande juu ya paa la majengo hayo.


ZeroDegree.
Mwanamke [Jina halijafahamika] Akutwa juu ya Paa La Jengo La Wizara Ya Fedha Dar. Mwanamke [Jina halijafahamika] Akutwa juu ya Paa La Jengo La Wizara Ya Fedha Dar. Reviewed by Zero Degree on 1/19/2016 08:51:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.