Makamba: Sikukamatwa na polisi, niliitwa kuhojiwa
Amesema polisi wamemhoji kama kuna chochote cha ziada kuhusu mfanyabiashara huyo ambacho amemueleza na kinaweza kusaidia uchunguzi.
Inadaiwa January alikamatwa na polisi na kuhojiwa kwa saa kadhaa, pia Jeshi la Polisi limethibitisha kumhoji waziri huyo lakini hata hivyo, baada ya kuhojiwa na polisi January aliandika katika ukurasa wake wa Twitter akisema; “sijakamatwa na polisi. Niko salama.”
Hali hiyo ilizua mjadala kwa wafuasi wake katika mtandao huo wa Twitter na mitandao mingine ya kijamii wakihoji ni kwanini anasema hajakamatwa na polisi wakati jeshi hilo limethibitisha na kwamba wanaokamatwa na polisi huwa hawako salama.
January katika hatua nyingine amezua sintofahamu baada ya kuandika tena katika ukurasa wake huo huo wa Twitter; “Ufafanuzi: polisi walinipigia simu kuniomba, kama rafiki wa @moodewji, niwasaidie kama kuna chochote cha ziada ambacho Mo aliniambia kinachoweza kusaidia uchunguzi.
“Niliwaeleza. Wakasema kinafanana na alichowaeleza. Wakanishukuru. Wamefanya hivi pia kwa wanafamilia. Sikukamatwa,”.
Inadaiwa January alikamatwa na polisi na kuhojiwa kwa saa kadhaa, pia Jeshi la Polisi limethibitisha kumhoji waziri huyo lakini hata hivyo, baada ya kuhojiwa na polisi January aliandika katika ukurasa wake wa Twitter akisema; “sijakamatwa na polisi. Niko salama.”
Hali hiyo ilizua mjadala kwa wafuasi wake katika mtandao huo wa Twitter na mitandao mingine ya kijamii wakihoji ni kwanini anasema hajakamatwa na polisi wakati jeshi hilo limethibitisha na kwamba wanaokamatwa na polisi huwa hawako salama.
January katika hatua nyingine amezua sintofahamu baada ya kuandika tena katika ukurasa wake huo huo wa Twitter; “Ufafanuzi: polisi walinipigia simu kuniomba, kama rafiki wa @moodewji, niwasaidie kama kuna chochote cha ziada ambacho Mo aliniambia kinachoweza kusaidia uchunguzi.
“Niliwaeleza. Wakasema kinafanana na alichowaeleza. Wakanishukuru. Wamefanya hivi pia kwa wanafamilia. Sikukamatwa,”.
Makamba: Sikukamatwa na polisi, niliitwa kuhojiwa
Reviewed by Zero Degree
on
10/22/2018 08:20:00 AM
Rating: