Dereva teksi kortini akidaiwa kuhusika na kutekwa kwa Mo Dewji
Twaleb wamefikishwa mahakama hapo na kusomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi.
Mo alitekwa na watu wasiojulikana alfajiri ya Oktoba 11, 2018 wakati akifanya mazoezi katika Hoteli ya Colosseum iliyopo jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, alipatikana Oktoba 20 katika eneo la Gymkhana baada ya kudaiwa kutelekezwa na watekaji hao.
Watu 12 walikamatwa na polisi katika tukio hilo wakihusishwa na watekaji.
Familia ya Dewji iliahidi kutoa Sh1 bilioni kwa mtu yeyote ambaye angetoa taarifa ambazo zingesaidia kupatikana kwa kijana wao. Hata hivyo hakuna aliyepata fedha hizo baada ya kupatikana kwake.
Mo alitekwa na watu wasiojulikana alfajiri ya Oktoba 11, 2018 wakati akifanya mazoezi katika Hoteli ya Colosseum iliyopo jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, alipatikana Oktoba 20 katika eneo la Gymkhana baada ya kudaiwa kutelekezwa na watekaji hao.
Watu 12 walikamatwa na polisi katika tukio hilo wakihusishwa na watekaji.
Familia ya Dewji iliahidi kutoa Sh1 bilioni kwa mtu yeyote ambaye angetoa taarifa ambazo zingesaidia kupatikana kwa kijana wao. Hata hivyo hakuna aliyepata fedha hizo baada ya kupatikana kwake.
Dereva teksi kortini akidaiwa kuhusika na kutekwa kwa Mo Dewji
Reviewed by Zero Degree
on
5/28/2019 01:20:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
5/28/2019 01:20:00 PM
Rating:
