Sikumbuki chochote kuhusu Maalim Seif - Mtolea
Mtolea ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Kikaangoni kinachorushwa kupitia EATV, ambapo amesema hakumbuki chochote alichofanyiwa na viongozi hao, kwa sababu ameshaondoka upande huo.
"Kiukweli kwa sasa hivi siwezi kuzungumzia jambo ambalo liamuhusu Lipumba kwa sasa nimeshaondoka, mimi nilishamalizana na nimeshasahau, kwa sababu jinsi tunavyoishi CCM, huwezi kukumbuka nyuma siwezi nikajichosha na mambo ya watu wengine" amesema Mbunge Mtolea
"Kuhusu Maalim Seif sina chochote cha kumzungumzia, na wala sikumbuki chochote kuhusu yeye kama alininadi mimi kwenye kampeni zangu, na mtu akisema sina fadhila atakuwa amekosea." amesema Mtolea
"Kiukweli kwa sasa hivi siwezi kuzungumzia jambo ambalo liamuhusu Lipumba kwa sasa nimeshaondoka, mimi nilishamalizana na nimeshasahau, kwa sababu jinsi tunavyoishi CCM, huwezi kukumbuka nyuma siwezi nikajichosha na mambo ya watu wengine" amesema Mbunge Mtolea
"Kuhusu Maalim Seif sina chochote cha kumzungumzia, na wala sikumbuki chochote kuhusu yeye kama alininadi mimi kwenye kampeni zangu, na mtu akisema sina fadhila atakuwa amekosea." amesema Mtolea
Sikumbuki chochote kuhusu Maalim Seif - Mtolea
Reviewed by Zero Degree
on
9/27/2019 07:35:00 AM
Rating: