Alliance yaenda Kenya kujiandaa na Ligi Kuu Bara
Uongozi wa Alliance umeeleza kuwa timu inakwenda nchini Kenya kwa mwaliko wa timu ya GMFC, na wenyeji wao hao watawatafutia michezo mingine ya kirafiki wakiwa nchini humo.
Kwa upande wa ligi kuu, Alliance FC inakabiliwa na michezo ya karibuni dhidi ya Yanga SC, Ruvu Shooting, Tanzania Prisons na Mbeya City.
Kati ya michezo hiyo, mchezo wa dhidi ya Yanga SC pekee ndio utachezwa katika uwanja wa CCM Kirumba, huku michezo mingine yote ikichezwa katika uwanja wa Nyamagana.
Ligi kuu kwasasa ipo mapumziko kupisha ratiba ya kalenda ya FIFA, ambapo timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), itacheza na Rwanda jijini Kigali Oktoba 14.
Kwa upande wa ligi kuu, Alliance FC inakabiliwa na michezo ya karibuni dhidi ya Yanga SC, Ruvu Shooting, Tanzania Prisons na Mbeya City.
Kati ya michezo hiyo, mchezo wa dhidi ya Yanga SC pekee ndio utachezwa katika uwanja wa CCM Kirumba, huku michezo mingine yote ikichezwa katika uwanja wa Nyamagana.
Ligi kuu kwasasa ipo mapumziko kupisha ratiba ya kalenda ya FIFA, ambapo timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), itacheza na Rwanda jijini Kigali Oktoba 14.
Alliance yaenda Kenya kujiandaa na Ligi Kuu Bara
Reviewed by Zero Degree
on
10/08/2019 05:05:00 PM
Rating: