Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ni chombo cha serikali kilichoanzishwa kwa lengo la kufufua, kukuza na kusimamia wasanii na shughuli za Sanaa nchini. Katika kukuza Sanaa, hauwezi kuacha kuangalia na kusimamia masuala ya maadili na nidhamu kwa wasanii.
Wito wa BASATA kwa msanii Menina:
Breaking News: Msanii Menina atakiwa kufika Ofisi za BASATA
Reviewed by Zero Degree
on
10/11/2019 12:35:00 PM
Rating: 5