Jose Chameleone adai kutishiwa maisha
Kupitia ujumbe wake aliouchapisha kwenye ukurasa wake wa Facebook, Chameleon amesema baada ya kufuatilia usajili wa namba hiyo alikutana na jina la Jenifer Maniraduha, tofauti na awali ambavyo mtu huyo alijitambulisha kwa jina la Generali.
"Tahadhari, nimekuwa nikipokea vitisho kutoka kwenye namba hii (akiitaja), mtu ambaye amejitambulisha kwa jina la Generali, mara ya kwanza alinitumia ujumbe Septemba 10 saa 12 jioni na alitaka nimtumie shilingi 5,000,000 la sivyo ataniua ila nilipuuzia, leo tena amenitumia ujumbe wa kutaka 8,000,000 kama nisipotuma ataniangamiza", ameandika Chameleon.
Chameleone ameongeza kuwa hadi sasa tayari amevitaarifu vyombo vya usalama na wamemuahidi kufanya uchunguzi juu ya suala hilo.
"Tahadhari, nimekuwa nikipokea vitisho kutoka kwenye namba hii (akiitaja), mtu ambaye amejitambulisha kwa jina la Generali, mara ya kwanza alinitumia ujumbe Septemba 10 saa 12 jioni na alitaka nimtumie shilingi 5,000,000 la sivyo ataniua ila nilipuuzia, leo tena amenitumia ujumbe wa kutaka 8,000,000 kama nisipotuma ataniangamiza", ameandika Chameleon.
Chameleone ameongeza kuwa hadi sasa tayari amevitaarifu vyombo vya usalama na wamemuahidi kufanya uchunguzi juu ya suala hilo.
Jose Chameleone adai kutishiwa maisha
Reviewed by Zero Degree
on
10/02/2019 09:35:00 AM
Rating: