Mchezaji afukuzwa kazi kisa wizi wa simu
Mshambuliaji wa Denmark Dolberg, 21, aliibiwa saa yake katika chumba cha maandalizi mnamo tarehe 16 mwezi Septemba na kuripoti kisa hicho kwa maafisa wa polisi.
Mshambuliaji Fadiga mwenye umri wa miaka 18 ameiwakilisha Ufaransa katika kikosi cha wachezaji wasiozidi umri wa miaka 18.
Mshambuliaji Fadiga mwenye umri wa miaka 18 ameiwakilisha Ufaransa katika kikosi cha wachezaji wasiozidi umri wa miaka 18.
''Nice na Lamine Diaby - Fadiga waliwachana siku ya Jumanne'' , ilisema taarifa ya klabu hiyo.
''Kufuatia wizi huo wa saa ya Kasper Dolberg kutoka katika chumba cha maandilizi na kukiri kwa mchezahi huyo , klabu hiyo iliamua kufutilia mbali kandarasi yake mara moja''.
Mbali na maswala ya kifedha na michezo . Klabu ya Nice haiwezi na haitakubali tabia kama hiyo ambayo ni kinyume na lengo la kuwaungunisha wafanya kazi wote wa klabu hiyo na wanachama wote wa Rouge et Noir .
Dolberg alijiunga na Nice kutoka klabu ya Ajax msimu huu, huku Diaby - Fadiga akiwa katika klabu hiyo kwa muda wa miaka mitatu.
Nice ipo katika nafasi ya sita katika ligi hiyo, inacheza ugenini dhidi ya klabu ilio katika nafasi ya tatu Nantes siku ya Jumamosi.
''Kufuatia wizi huo wa saa ya Kasper Dolberg kutoka katika chumba cha maandilizi na kukiri kwa mchezahi huyo , klabu hiyo iliamua kufutilia mbali kandarasi yake mara moja''.
Mbali na maswala ya kifedha na michezo . Klabu ya Nice haiwezi na haitakubali tabia kama hiyo ambayo ni kinyume na lengo la kuwaungunisha wafanya kazi wote wa klabu hiyo na wanachama wote wa Rouge et Noir .
Dolberg alijiunga na Nice kutoka klabu ya Ajax msimu huu, huku Diaby - Fadiga akiwa katika klabu hiyo kwa muda wa miaka mitatu.
Nice ipo katika nafasi ya sita katika ligi hiyo, inacheza ugenini dhidi ya klabu ilio katika nafasi ya tatu Nantes siku ya Jumamosi.
Mchezaji afukuzwa kazi kisa wizi wa simu
Reviewed by Zero Degree
on
10/02/2019 09:05:00 AM
Rating: