JPM akubali jimbo la Nape lipewe hadhi mpya
Rais Magufuli aliitoa kauli hiyo jana Oktoba 15, 2019, wakati akizungumza na wakazi wa Mtama, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake mkoani Lindi.
''Halmashauri hii haitaitwa tena ya Lindi Vijijini, itaitwa Halmashauri ya Mtama na haya maagizo niliyoyatoa, nitayatoa leo kwa Waziri Jafo wa TAMISEMI ili aweze kuyashughulikia kwa mujibu wa sheria'' amesema Rais Magufuli.
Aidha Rais Magufuli ametoa siku 15 kwa Halmashauri mbili, ikiwemo Korogwe na Bunda ili kuhakikisha wananzitatua kero alizozitatua leo mkoani Lindi, kabla ya huo muda alioutoa.
''Halmashauri hii haitaitwa tena ya Lindi Vijijini, itaitwa Halmashauri ya Mtama na haya maagizo niliyoyatoa, nitayatoa leo kwa Waziri Jafo wa TAMISEMI ili aweze kuyashughulikia kwa mujibu wa sheria'' amesema Rais Magufuli.
Aidha Rais Magufuli ametoa siku 15 kwa Halmashauri mbili, ikiwemo Korogwe na Bunda ili kuhakikisha wananzitatua kero alizozitatua leo mkoani Lindi, kabla ya huo muda alioutoa.
JPM akubali jimbo la Nape lipewe hadhi mpya
Reviewed by Zero Degree
on
10/16/2019 07:05:00 AM
Rating: