Lewandowski: Sijui habari za kwenda Real Madrid zinatokea wapi
Staa huyo raia wa Poland amekuwa akihusishwa kujiunga na Real Madrid, lakini aliweka wazi mipango yake ya kuendelea kuwepo ndani ya kikosi cha mabingwa cha Ujerumani kinachonolewa na Nico Kovac.
“Sijui habari za kwenda Real Madrid zinatokea wapi, zinanishangaza, lakini kadri siku zinavyoenda nimekuwa nikizizoea.
“Inaonyesha jinsi gani mimi ni mchezaji mkubwa, mara kadhaa nimehusishwa na Madrid, Manchester United, Barcelona na Juventus, niseme ukweli, siwezi kuondoka hapa,” alisema.
“Sijui habari za kwenda Real Madrid zinatokea wapi, zinanishangaza, lakini kadri siku zinavyoenda nimekuwa nikizizoea.
“Inaonyesha jinsi gani mimi ni mchezaji mkubwa, mara kadhaa nimehusishwa na Madrid, Manchester United, Barcelona na Juventus, niseme ukweli, siwezi kuondoka hapa,” alisema.
Lewandowski: Sijui habari za kwenda Real Madrid zinatokea wapi
Reviewed by Zero Degree
on
10/01/2019 01:19:00 PM
Rating: