Mwana FA, Dude wafika kilele cha mlima Kilimanjaro
Mastaa kibao walishiriki katika kampeni hiyo ya kuhamaisha utalii wa ndani lakini wengi wao walishindwa kumudu kufika katika kilele cha Uhuru na wakaishia kwenye vituo vya mwanzoni kwa sababu mbalimbali.
Kwa hatua hiyo, Dude anakuwa msanii wa kwanza wa filamu Bongoi kufika kwenye kilele hicho huku Mwana Fa akiwa msanii wa pili wa Bongo Fleva baada ya Lady Jay Dee aliyewahi kufika kwenye kilele cha Uhuru mwaka 2013.
Kwa hatua hiyo, Dude anakuwa msanii wa kwanza wa filamu Bongoi kufika kwenye kilele hicho huku Mwana Fa akiwa msanii wa pili wa Bongo Fleva baada ya Lady Jay Dee aliyewahi kufika kwenye kilele cha Uhuru mwaka 2013.
Mwana FA, Dude wafika kilele cha mlima Kilimanjaro
Reviewed by Zero Degree
on
10/04/2019 08:20:00 AM
Rating: