Tanzia: Mkurugenzi Mstaafu Usalama wa Taifa afariki dunia nchini Afrika Kusini
ALIYEKUWA kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Cornell Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia mchana wa leo, Jumatatu, Oktoba 7, 2019 mjini Pretoria, Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu.
Rais Magufuli akimjulia hali Apson Mwang'onda hospitalini enzi za uhai wake |
Familia imethibitisha na kusema itatoa taarifa zaidi baadaye.
Tanzia: Mkurugenzi Mstaafu Usalama wa Taifa afariki dunia nchini Afrika Kusini
Reviewed by Zero Degree
on
10/07/2019 04:05:00 PM
Rating: