Breaking News: Michael Wambura aachiwa huru
Wambura atazilipa fedha hizo kwa awamu tano na kwa masharti ya kutofanya makosa yeyote kwa kipindi cha miezi 12, ambapo leo amelipa Tsh milioni 20.
Hii imekuja baada ya Wambura kumuandika barua kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) kwa ajili ya kuomba msamaha na kukiri makosa yanayomkabili mahakamani hapo.
Breaking News: Michael Wambura aachiwa huru
Reviewed by Zero Degree
on
10/07/2019 02:50:00 PM
Rating: