Tetesi za soka barani Ulaya leo Ijumaa Oktoba 11, 2019
Kocha wa Juventus Maurizio Sarri anataka kumsajili beki wa kushoto Mtaliano Emerson, 25, kutoka Chelsea. (Express)
Manchester United wanaangalia uwezekano wa kumsajili kiungo wa klabu ya Rostov na raia wa Norway Mathias Normann, 23, mwezi Januari.
Manchester United inajipanga kulipa kitita cha pauni milioni 130 kuwanyakua wachezaji wawili wa Leicester na England; mlinzi Ben Chilwell na kiungo James Maddison, wote wana miaka 22. (Sun)
Arsenal wanamfuatilia kwa karibu kiungo kinda wa klabu ya Feyenoord ya Uholanzi Orkun Kokcu,18, mwenye thamani ya pauni milioni 20.
Hata hivyo kuna ripoti zinadai kuwa klabu ya Chelsea kwa sasa ndio wanapigiwa upatu zaidi kumnasa beki wa kushoto Chilwell pale marufuku dhidi yao ya usajili itakapokwisha. (Mail)
Hata hivyo kuna ripoti zinadai kuwa klabu ya Chelsea kwa sasa ndio wanapigiwa upatu zaidi kumnasa beki wa kushoto Chilwell pale marufuku dhidi yao ya usajili itakapokwisha. (Mail)
Man United inataka kusajili wachezaji wapya 8 katika kipindi cha misimu miwili ijayo na tayari wameshaandaa orodha ya wachezaji hao. (Telegraph)
Real Madrid hawataki kupoteza bahati kwa kutomsajili kiungo wa Denmark Christian Eriksen, 27, mpaka mwisho wa msimu ambapo kuna uwezekano akaongeza mkataba na klabu yake ya Tottenham. (Marca)
Tottenham wana matumaini kuwa watamuuza Eriksen mwezi Januari tili kuzuia wasimpoteze bure mwishoni mwa msimu ambapo mkataba wake utakuwa unaisha.
Christian Eriksen, 27 |
Real Madrid hawataki kupoteza bahati kwa kutomsajili kiungo wa Denmark Christian Eriksen, 27, mpaka mwisho wa msimu ambapo kuna uwezekano akaongeza mkataba na klabu yake ya Tottenham. (Marca)
Tottenham wana matumaini kuwa watamuuza Eriksen mwezi Januari tili kuzuia wasimpoteze bure mwishoni mwa msimu ambapo mkataba wake utakuwa unaisha.
Manchester City wanatafakari juu ya kufanya usajili wa mwezi Januari kwa kumnunua beki wa timu ya Benfica Ruben Dias, 22, ambaye pia anahusishwa na uhamishi kuelekea Manchester United. (Mirror)
Japo rais wa Real Madrid Florentino Perez anataka kumsajili Eriksen, kipaumbele cha kocha Zinedine Zidane bado ni kiungo wa Manchester United Paul Pogba, 26.
Beki wa Barcelona Gerard Pique, 32, alikaribia kuinunua klabu ya Notts County mwishoni mwa msimu uliopita. (ESPN)
Arsenal wapo katika mazungumzo na klabu ya Uturuki Fenerbahce juu ya usajili wa mkopo wa kiungo Mesut Ozil, 30. (Takvim)
Arsenal wapo katika mazungumzo na klabu ya Uturuki Fenerbahce juu ya usajili wa mkopo wa kiungo Mesut Ozil, 30. (Takvim)
Chanzo: BBC
Tetesi za soka barani Ulaya leo Ijumaa Oktoba 11, 2019
Reviewed by Zero Degree
on
10/11/2019 07:50:00 AM
Rating: