Watu 13 wafariki dunia kwa ajali ya basi Kenya
Kamanda polisi wa mjini Kisumu, Benson Maweu amethibitisha miila ya watu waliokufa katika ajali ya basi la Eldoret Express alfajiri ya leo saa nane na nusu.
"Basi lililokuwa linasafiri kutoka mji wa Kericho kuelekea Kisumu, barabara ya kuelekea Nairobi lilipokuwa linalipita lori", shuhuda Maweu alinukuliwa na Daily nation.
"Basi lililokuwa linasafiri kutoka mji wa Kericho kuelekea Kisumu, barabara ya kuelekea Nairobi lilipokuwa linalipita lori", shuhuda Maweu alinukuliwa na Daily nation.
Kamanda wa polisi amesema kuwa kati ya watu hao 13 kulikuwa na mtoto mmoja.
Watu 12 walikufa papo hapo kwenye basi na huyo mtu wa 13 ni dereva wa lori pia alikufa.
Ripoti ya polisi nchini humo inasema kuwa basi hilo lilikuwa na abiria 51, na ajali imesababisha abiria 11 na madereva wote wawili wa basi na lori wamefariki.
Chanzo: BBC
Watu 13 wafariki dunia kwa ajali ya basi Kenya
Reviewed by Zero Degree
on
10/04/2019 09:50:00 AM
Rating: