Waziri Mkuu aongoza kikao kazi cha Mawaziri na Naibu Mawaziri
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza alipoongoza kikao kazi cha Mawaziri na Naibu Mawaziri kilichofanyika katika jengo la Hazina jijini Dodoma Mei 07, 2024. |
Kushoto ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko na kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama |
Waziri Mkuu aongoza kikao kazi cha Mawaziri na Naibu Mawaziri
Reviewed by Zero Degree
on
5/07/2024 09:26:00 PM
Rating: