Loading...

Nizar ruksa kuitumikia Yanga, Azam watoa baraka zao


Klabu ya Azam FC imefikia makubaliano na klabu ya Yanga kuhusu mchezaji, Nizar Abubakar Othman.

Azam imetoa baraka zote kwa mchezaji huyo na kumtakia kila la heri katika maisha mapya ya soka.

Kwa upande mwingine Azam wametoa pongezi kwa klabu ya Yanga kwa weledi waliouonesha hadi kufikia muafaka.

Taarifa ya klabu y Azam FC



Nizar ruksa kuitumikia Yanga, Azam watoa baraka zao Nizar ruksa kuitumikia Yanga, Azam watoa baraka zao Reviewed by Zero Degree on 8/15/2025 12:24:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.