Lowassa apinga matokeo ya uchaguzi TZ

Amesema kuwa ana ushahidi wa kutosha kwamba kuna udanganyifu uliofanyika.
Amesema kuwa kura za chama hicho zimepunguzwa katika vituo vingi vya kupigia kura.
Wanadai kwamba kura zilizohesabiwa katika maeneo tofauti haziambatani na matokeo yaliotolewa.
Lowassa ameongezea kwamba maeneo yote ambayo walipata ushindi yamecheleweshwa huku kukamatwa kwa maajenti wa chama hicho akidai kuwa ni ishara za kutaka kuiba kura.
Credits: BBC
Lowassa apinga matokeo ya uchaguzi TZ
Reviewed by Zero Degree
on
10/28/2015 01:55:00 PM
Rating: