Loading...

Watu 30 wafa kwenye ajali ya basi iliyotokea nchini China.


Takriban watu 30 wameaga dunia nchini China, baada ya basi moja kupata ajali na kisha kushika moto.

Ajali hiyo ilitokea katika mkoa wa Hunan wakati basi hilo lilikuwa likiwasafirisha zaidi ya watu 50 liliponga vizuizi katika barabara kuu.

Mafuta yaliyokuwa yakivuja yananaminiwa kusababisha moto huo. Polisi wamemkamataka dereva wa basi hilo.

Source: BBC
ZeroDegree.
Watu 30 wafa kwenye ajali ya basi iliyotokea nchini China. Watu 30 wafa kwenye ajali ya basi iliyotokea nchini China. Reviewed by Zero Degree on 6/26/2016 12:17:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.