Loading...

Hii hapa TOP 10 ya makocha wanaoongoza kwa kulipwa mishahara mikubwa duniani.

Watu wengi wamezoea kusikia mishahara ya wachezaji soka tu, lakini leo August 19 2016, leo naomba tutazame upande wa mishahara ya makocha.
 
Ifuatayo ni TOP 10 ya makocha wanaoongoza kwa kulipwa mishahara mikubwa katika soka, katika list hii namba moja na mbili zimechukuliwa na makocha wanaofundisha vilabu vinavyotokea katika jiji moja la Manchester.

10. Rafael Benitez – Newcastle United ($5.8 million ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 12 kwa mwaka)



9. Mauricio Pochettino – Tottenham Hotspurs ($7.1 Millioni ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 15 kwa Mwaka)



8. Antonio Conte – Chelsea ($8.4 Millioni ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 18 kwa Mwaka).



7. Luis Enrique – Barcelona ($9 Millioni ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 19 kwa Mwaka).



6. Jurgen Klopp – Liverpoll ($9 Millioni ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 19 kwa Mwaka).


5. Zinedine Zidane – Real Madrid ($10 Millioni ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 21 kwa Mwaka).


4. Arsene Wenger – Arsenal ($10.7 Millioni ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 23 kwa Mwaka).


3. Carlo Ancelotti – Bayer Munich ($11.6 Millioni ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 25 kwa Mwaka).


2. Jose Mourinho – Manchester United ($17.7 Millioni ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 38 kwa Mwaka).


1. Pep Guardiola – Manchester City ($19.4 Millioni ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 42 kwa Mwaka).



ZeroDegree.
Hii hapa TOP 10 ya makocha wanaoongoza kwa kulipwa mishahara mikubwa duniani. Hii hapa TOP 10 ya makocha wanaoongoza kwa kulipwa mishahara mikubwa duniani. Reviewed by Zero Degree on 8/19/2016 04:36:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.