Loading...

Mawaziri nchini Ufaransa walumbana baada ya Fillon kuteuliwa kuwa mgombea wa urais.

Mawaziri wakuu wastaafu wawili nchini Ufaransa walilumbana katika mdaalo wa Televisheni baada ya uteuzi wa mgombea wa urais wa mrengwa wa kulia wa chama cha Pepublican.

Francois Fillon, hakujarajiwa kushinda awamu ya kwanza ya kura zilizopigwa na kumlalamikia Alan Juppe kwa kuonyesha misimamo yake ya kale.


Francois Fillon, hakujarajiwa kushinda awamu ya kwanza ya kura zilizopigwa.
Bwana Juppe amesema kuwa mipango ya mpinzani wake ikiwemo suala la kupunguzwa kwa bajeti ilikuwa mibaya.

Mwakilishi kutoka Paris anasema atakayeteuliwa katika chama cha Republican pamoja na mgawanyiko wa uongozi wa chama cha Socialist atambambana na kiongozi Marine Le Pen wa mrengwa wa kulia katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Mei mwakani.

ZeroDegree.
Mawaziri nchini Ufaransa walumbana baada ya Fillon kuteuliwa kuwa mgombea wa urais. Mawaziri nchini Ufaransa walumbana baada ya Fillon kuteuliwa kuwa mgombea wa urais. Reviewed by Zero Degree on 11/25/2016 08:38:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.