Loading...

VIDEO: Sauti za watu wakifanya mapenzi zasikika kwenye simu ya Rais akiwa mahakamani.

Rais wa Bolvia, Evo Morales.
HII ni miongoni mwa stori zilizotengeza headlines kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa, siyo nyingine bali ni stori inayomhusu Rais wa Bolvia, Evo Morales.

Rais Evo Morales akiwa mahakamani kwenye kikao pamoja na wanasheria wa kimataifa alianza kuchezea simu yake ya mkononi ambapo ghafla kwa bahati mbaya alibonyeza ku-play videos kwenye simu hiyo ambapo zilisikika sauti za watu wakifanya mapenzi kwenye simu yake.

Kuitazama video bofya hapo chini:


ZeroDegree.
VIDEO: Sauti za watu wakifanya mapenzi zasikika kwenye simu ya Rais akiwa mahakamani. VIDEO: Sauti za watu wakifanya mapenzi zasikika kwenye simu ya Rais akiwa mahakamani. Reviewed by Zero Degree on 12/29/2016 10:50:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.