Msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza [EPL] baada ya mechi za jana jumatano
![]() |
Gabriel Jesus akiifungia Manchester City bao lake la kwanza |
Mtanange kati ya Westham na Man City uliisha kwa wagonga nyundo yaani Westham kuchapwa 4-0.
Stoke City 1-1 Everton
Ambapo katika mchezo huo mshambuliaji wa stoke Peter Crouch amefikisha goli la 100 kwenye EPL.
Manchester United 0-0 Hull City
Hii inamaanisha kwamba hata mchezo unaokuja Man United ikishinda na City ikafungwa United inabaki palepale namba sita.
Manchester City 4-0 West Ham
Naye Gabriel Jesus alifunga bao lake la kwanza la Man City wakati timu hiyo ilipoicharaza West Ham katika uwanja wa London.
Stoke City 1-1 Everton
Ambapo katika mchezo huo mshambuliaji wa stoke Peter Crouch amefikisha goli la 100 kwenye EPL.
Manchester United 0-0 Hull City
Hii inamaanisha kwamba hata mchezo unaokuja Man United ikishinda na City ikafungwa United inabaki palepale namba sita.
Manchester City 4-0 West Ham
Naye Gabriel Jesus alifunga bao lake la kwanza la Man City wakati timu hiyo ilipoicharaza West Ham katika uwanja wa London.
Msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza [EPL] baada ya mechi za jana jumatano
Reviewed by Zero Degree
on
2/02/2017 01:15:00 PM
Rating:
![Msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza [EPL] baada ya mechi za jana jumatano](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBtCVLPWjKuWoZQzmMLarwa1puTapx4vFvYwZYr9Tf4tLYLrBs1miOtY_-QYYbxEEV_ksBD7L-7O76VsLjh24almn2-ancNUhQ-oKvB-BJKX8M721mKMF7n1yS84xB8PIpz3P4nc1gadw/s72-c/_93916302_jesus_rex.jpg)