VIDEO: Chelsea yazidi kuukalibia Ubingwa wa Ligi kuu ya Uingereza [EPL]
Wafungaji wa magoli ya Chelsea ni; Diego Costa (23'), Marcos Alonso (34') na Nemanja Matic (65') .
Kwa ushindi huo, Chelsea imezidi kujihakikishia nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu baada ya kujikita kileleni kwa tofauti ya pointi 7 zaidi mbele ya Tottenham ambapo Chelsea wamebakiza mechi 3 kabla ya kumalizika kwa msimu huu wa 2016/17sambamba na Tottenham ambao nao wamebakiza mechi 3.
Msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza [EPL]:
VIDEO: Chelsea yazidi kuukalibia Ubingwa wa Ligi kuu ya Uingereza [EPL]
Reviewed by Zero Degree
on
5/09/2017 01:43:00 AM
Rating:
![VIDEO: Chelsea yazidi kuukalibia Ubingwa wa Ligi kuu ya Uingereza [EPL]](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi4AvHfajs5p_ZrO9R72SSHtKzmII_bnjXDWv1dXpj5t-w7zebBS62n8fYDMnDeqTtVWBjSTUNjqEjoV_4hxd9wljaG-OJ0o7lQFZt1UcEYC9FY8lgOHpDyHLY3yVO4lOEyJCb_n5Icfnk/s72-c/680443240.0.jpg)