JPM amteua bosi Usalama wa Taifa
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa, ilisema uteuzi wa Kamishna Diwani ulianza jana na alishaapishwa, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi huo, Kamishna Diwani alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Akizungumza baada ya kumwapisha, Rais Magufuli alimtaka kamishna huyo kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa na kwa kuweka mbele maslahi ya taifa.
Kamishna Diwani anachukua nafasi ya Dk. Modestus Kipilimba, ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Kabla ya uteuzi huo, Kamishna Diwani alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Akizungumza baada ya kumwapisha, Rais Magufuli alimtaka kamishna huyo kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa na kwa kuweka mbele maslahi ya taifa.
Kamishna Diwani anachukua nafasi ya Dk. Modestus Kipilimba, ambaye atapangiwa kazi nyingine.
JPM amteua bosi Usalama wa Taifa
Reviewed by Zero Degree
on
9/13/2019 06:20:00 AM
Rating:
