Loading...

Aziz Ki mchezaji bora Yanga SC mwezi Machi


KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki amechaguliwa Mchezaji Bora wa Yanga kwa mwezi Machi.


Ki amewapiku beki Ibrahim Hamad ‘Bacca’ na kiungo Mudathir Yahya Abbas alioingia nao Fainali – na kwa ushindi huo atapatiwa kitita en cha Sh. Milioni 3 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya NIC Insurance.
Aziz Ki mchezaji bora Yanga SC mwezi Machi Aziz Ki mchezaji bora Yanga SC mwezi Machi Reviewed by Zero Degree on 4/18/2024 08:15:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.