Loading...

Mwamuzi mchezo wa Simba na Yanga awekwa wazi


Kuelekea mchezo wa Derby ya Kariakoo Wababe Simba na Yanga wanaenda kukutana siku ya Jumamosi April 20, 2024 waamuzi wa mtanange huo wameshajulikana.

  1. Mwamuzi wa Kati – Ramadhani Kayoko
  2. Line 1 – Frank Komba
  3. Line 2 – Janneth Balama
  4. Kamisaa – Heri Sasi
Mwamuzi mchezo wa Simba na Yanga awekwa wazi Mwamuzi mchezo wa Simba na Yanga awekwa wazi Reviewed by Zero Degree on 4/18/2024 02:30:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.