Loading...

Rais Samia amteua Alice Edward Mtulo kuwa Naibu Wakili Mkuu


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Alice Edward Mtulo kuwa Naibu Wakili Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi huu, Mtulo alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali.







Rais Samia amteua Alice Edward Mtulo kuwa Naibu Wakili Mkuu Rais Samia amteua Alice Edward Mtulo kuwa Naibu Wakili Mkuu Reviewed by Zero Degree on 4/05/2024 07:50:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.