Dkt. Tulia, Mkurugenzi wa Asas Diaries wakutana na kufanya mazungumzo
![]() |
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Asas Diaries Iringa, Ndg. Ahmed Salim Abri |
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kampuni ya Asas Diaries Iringa, Ndg. Ahmed Salim Abri alipomtembelea leo tarehe 14 Mei, 2025 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Dkt. Tulia, Mkurugenzi wa Asas Diaries wakutana na kufanya mazungumzo
Reviewed by Zero Degree
on
5/14/2025 12:29:00 PM
Rating:
