Dkt. Hashil aongoza kikao cha Nne (4) cha Kamati ya Pamoja ya Biashara (Joint Trade Commitie-JTC)
![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah (kulia) akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Viwanda wa Zambia, Bi. Lilian Bwalya |
Mkutano huo ngazi ya Makatibu Wakuu umetanguliwa na Mkutano wa Watalaam uliofanyika Agosti 18 na 19, 2025 Nakonde, Zambia.
Dkt. Hashil aongoza kikao cha Nne (4) cha Kamati ya Pamoja ya Biashara (Joint Trade Commitie-JTC)
Reviewed by Zero Degree
on
8/20/2025 06:58:00 PM
Rating:
