Loading...

TFF imemteua Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu


Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemteua Oscar
Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu.

Uteuzi wa Mirambo ambaye ni Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF utaanza rasmi Oktoba 1, 2025.

Mirambo anachukua nafasi ya Wilfred Kidao ambaye mkataba wake unamalizika Septemba 30, 2025.

Taarifa ya uteuzi huo:



TFF imemteua Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu TFF imemteua Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu Reviewed by Zero Degree on 9/24/2025 05:50:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.