Loading...

Gazeti la Tanzania Daima laomba radhi


Gazeti la Tanzania Daima limeandikia barua ya kuomba radhi kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbas baada ya gazeti hilo kutoa taarifa yenye kichwa cha habari ‘Asilimia 67 ya Watanzania wanatumia Dawa za kufubaza Virusi vya Ukimwi’.


Taarifa iliyochapishwa na gazeti la Tanzania daima
Gazeti la Tanzania Daima laomba radhi Gazeti la Tanzania Daima laomba radhi Reviewed by Zero Degree on 10/23/2017 10:51:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.