Ammy Ninje ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi TFF
Mkutano huo unafanyika kwa mujibu wa Katiba ya TFF na umepata siku 60 za kutangazwa kabla ya kufanyika.
Aidha kikao hicho cha Kamati ya Utendaji kimepitisha mabadiliko madogo kwenye kamati ndogo ndogo za TFF. Mabadiliko hayo yametokana na baadhi ya Wajumbe kujiuzulu na wengine kukabiliwa na majukumu mengi.
KAMATI YA NIDHAMU
Aidha kikao hicho cha Kamati ya Utendaji kimepitisha mabadiliko madogo kwenye kamati ndogo ndogo za TFF. Mabadiliko hayo yametokana na baadhi ya Wajumbe kujiuzulu na wengine kukabiliwa na majukumu mengi.
KAMATI YA NIDHAMU
1. Kiomoni Kibamba - Mwenyekiti
2. Peter Hella - M/Mkiti
3. Kassim Dau - Mjumbe
4. Handley Matwenga - Mjumbe
5. Twaha Mtengera - Mjumbe
KAMATI YA RUFAA MAADILI
1. Richard Mbaruku - Mwenyekiti
2. Thadeus Karua - M/Kiti
3. Mh. Mussa Zungu - Mjumbe
4. Asp Benedict Nyagabona - Mjumbe
5. Lugano Hosea - Mjumbe
KAMATI YA UCHAGUZI
1. Malangwe Ally - Mwenyekiti
2. Mh. Mohamed Mchengela - M/Kiti
3. Benjamini Karume - Mjumbe
4. Mohamed Gombati - Mjumbe
5. Hamisi Zayumba - Mjumbe
Ammy Ninje ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi TFF
Reviewed by Zero Degree
on
10/22/2018 12:20:00 PM
Rating: