skip to main |
skip to sidebar
IKIWA ni saa chache baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kutangaza kumvua Ubunge, aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema), jana Machi 14, 2019, baada ya kupoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge kufuatia kushindwa kuhudhuria vikao vya mikutano mitatu ya Bungemfululizo, Nassari amesema kuwa Januari 29, 2019 aliwasiliana na Ofisi ya Spika na kueleza juu ya kushindwa kuhudhuria vikao vya Bunge.
Baada ya kuvuliwa ubunge, Joshua Nassari amjibu spika
Reviewed by
Zero Degree
on
3/15/2019 07:50:00 AM
Rating:
5