Bunge laipitisha bajeti ya Serikali ya mwaka 2019/20
Akitoa matokeo ya shughuli ya upigaji kura ulivyokuwa, bungeni leo Jumanne Juni 25 2019, Katibu wa Bunge Stephen Kigaigai amesema jumla ya wabunge waliopiga kura ni 380.
Amesema wabunge ambao hawakuwepo walikuwa ni 12 na hakuna mbunge ambaye hakuamua.
Kagaigai amesema wabunge waliosema hapana walikuwa ni 83 sawa na asilimia 21.8 ya wabunge waliopiga kura wakati wabunge 297 sawa na asilimia 78.2 walipiga kura za ndio.
Baada ya Kigaigai kutangaza matokeo hayo, Spika wa Bunge Job Ndugai ametangaza kuwa Bunge limekubali kupitisha makadirio hayo kwa asilimia 78.2.
Amesema wabunge ambao hawakuwepo walikuwa ni 12 na hakuna mbunge ambaye hakuamua.
Kagaigai amesema wabunge waliosema hapana walikuwa ni 83 sawa na asilimia 21.8 ya wabunge waliopiga kura wakati wabunge 297 sawa na asilimia 78.2 walipiga kura za ndio.
Baada ya Kigaigai kutangaza matokeo hayo, Spika wa Bunge Job Ndugai ametangaza kuwa Bunge limekubali kupitisha makadirio hayo kwa asilimia 78.2.
Bunge laipitisha bajeti ya Serikali ya mwaka 2019/20
Reviewed by Zero Degree
on
6/26/2019 07:50:00 AM
Rating: