Bondia Mtanzania achapwa raundi ya kwanza nchini Urusi
Katika pambano hilo la raundi 8, Mchumiatumbo alipigwa TKO kunako raundi ya kwanza, Ambapo bondia Arslan Yallyev alimsokomezea masumbwi mawili mazito yaliyompeleka chini Mchumitumbo mara mbili na kujikuta akisalimu amri.
Kocha Mtanzania aliyeambatana na bondia huyo, Anthony Rutha amesema refa alilazimika kumaliza pambano baada ya Mtanzania huyo kupelekwa chini mara mbili mfululizo.
Kocha Mtanzania aliyeambatana na bondia huyo, Anthony Rutha amesema refa alilazimika kumaliza pambano baada ya Mtanzania huyo kupelekwa chini mara mbili mfululizo.
Bondia Mtanzania achapwa raundi ya kwanza nchini Urusi
Reviewed by Zero Degree
on
10/06/2019 05:20:00 PM
Rating: