Fisi wavamia msibani usiku wa manane, wawili wajeruhiwa vibaya
Kwa mujibu wa Daktari wa Hospitali ya Misheni Kibara Dkt Samwel Paul, Ambako majeruhi hao wamelazwa, Alithibitisha kupokea majeruhi hao ambao walikuwa wamejeruhiwa sehemu mbalimbali kwenye miili yao ikiwemo kwenye mikono.
Majeruhi hao ni David Robert na Bi. Elizabeth Mgeta (60) wote walikuwa waombolezaji kwenye msiba huo.
Mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa tukio hilo limetokea saa 6 usiku wa kuamkia jana, Ambapo waombolezaji walikuwa wanajiandaa kulala baada ya kumaliza mazishi.
Chanzo: Habari Leo
Majeruhi hao ni David Robert na Bi. Elizabeth Mgeta (60) wote walikuwa waombolezaji kwenye msiba huo.
Mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa tukio hilo limetokea saa 6 usiku wa kuamkia jana, Ambapo waombolezaji walikuwa wanajiandaa kulala baada ya kumaliza mazishi.
Chanzo: Habari Leo
Fisi wavamia msibani usiku wa manane, wawili wajeruhiwa vibaya
Reviewed by Zero Degree
on
10/23/2019 11:50:00 AM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
10/23/2019 11:50:00 AM
Rating:
